Swali: Ni ipi nasaha yako kwa mume anayemwamrisha mke wake avae mavazi ya mapambo na ya kuvutia pindi anapotoka nje ya nyumba yake?
Jibu: Huyu anaamrisha maovu na anakataza mema. Hii ni sifa ya wanafiki. Kutoka hali ya kuwa amejipamba, haya ni maovu. Anaamrisha maovu. Ni wajibu kwake kutubu kwa Allaah (´Azza wa Jall). Badala yake amwamrishe kujisitiri, kujiheshimisha na kuwa na hayaa wakati wa kutoka.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (52) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-10-18.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Ni ipi nasaha yako kwa mume anayemwamrisha mke wake avae mavazi ya mapambo na ya kuvutia pindi anapotoka nje ya nyumba yake?
Jibu: Huyu anaamrisha maovu na anakataza mema. Hii ni sifa ya wanafiki. Kutoka hali ya kuwa amejipamba, haya ni maovu. Anaamrisha maovu. Ni wajibu kwake kutubu kwa Allaah (´Azza wa Jall). Badala yake amwamrishe kujisitiri, kujiheshimisha na kuwa na hayaa wakati wa kutoka.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (52) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-10-18.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/mume-anataka-mke-atoke-na-mavazi-ya-mapambo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)