Swali: Kuna mwanaume alimuomba mke wake yale ambayo mume humuomba mke wake na ilikuwa mchana wa siku ya Alkhamisi. Akasema [mke] mimi nimeamka na swawm ilihali yeye [mume] hakuwa ni mwenye kujua hilo. Kisha mke akasema “Haina neno ikiwa jambo hili waliridhia”. Je, kuna kitu chochote juu ya hili?
Jibu: Ikiwa swawm ni ya faradhi, mume hatakiwi kumuomba. Kwa mfano analipa swawm ya Ramadhaan, kafara n.k., hatakiwi kumtaka kujamiiana naye akamuharibishia swawm yake. Ama ikiwa ni sunnah, hakuna neno. Akitaka kula, anaweza kula na isitoshe hatakiwi kufunga pasina idhini ya mume wake. Ikiwa mume wake yupo, hatakiwi kufunga pasina idhini yake. Kutokana na kauli yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Asifunge mwanamke na mume wake yupo [hakusafiri] isipokuwa kwa idhini yake.”
Isipokuwa Ramadhaan.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=12824
- Imechapishwa: 21/11/2014
Swali: Kuna mwanaume alimuomba mke wake yale ambayo mume humuomba mke wake na ilikuwa mchana wa siku ya Alkhamisi. Akasema [mke] mimi nimeamka na swawm ilihali yeye [mume] hakuwa ni mwenye kujua hilo. Kisha mke akasema “Haina neno ikiwa jambo hili waliridhia”. Je, kuna kitu chochote juu ya hili?
Jibu: Ikiwa swawm ni ya faradhi, mume hatakiwi kumuomba. Kwa mfano analipa swawm ya Ramadhaan, kafara n.k., hatakiwi kumtaka kujamiiana naye akamuharibishia swawm yake. Ama ikiwa ni sunnah, hakuna neno. Akitaka kula, anaweza kula na isitoshe hatakiwi kufunga pasina idhini ya mume wake. Ikiwa mume wake yupo, hatakiwi kufunga pasina idhini yake. Kutokana na kauli yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Asifunge mwanamke na mume wake yupo [hakusafiri] isipokuwa kwa idhini yake.”
Isipokuwa Ramadhaan.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=12824
Imechapishwa: 21/11/2014
https://firqatunnajia.com/mume-anataka-kujamiiana-na-mke-aliyefunga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)