Swali: Mwanaume amemuoa mwanamke kisha akafa kabla ya kumwingilia. Je, ni mwanamke huyo analazimika kukaa eda?
Jibu: Ndio. Akimuoa mwanamke kisha akafa kabla ya kumwingilia, anazingatiwa ni mke wake; atamrithi na atakaa eda ya kufiwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (37)
- Imechapishwa: 27/07/2023