Swali: Je, Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasahau au hasahau?
Jibu: Ndio, inajuzu kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kusahau. Lakini hakubaliwi katika mambo yanayohusiana na Shari´ah, bali Allaah humfunza. al-Bukhaariy na Muslim wamepokea kupitia kwa Ibn Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh) ambaye ameeleza kuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mimi ni mwanadamu, ninasahau kama mnavyosahau. Hivyo basi nikisahau nikumbusheni.”
Ilikuwa wakati aliposahau katika swalah ya ´Aswr.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (3/270)
- Imechapishwa: 23/08/2020
Swali: Je, Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anasahau au hasahau?
Jibu: Ndio, inajuzu kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kusahau. Lakini hakubaliwi katika mambo yanayohusiana na Shari´ah, bali Allaah humfunza. al-Bukhaariy na Muslim wamepokea kupitia kwa Ibn Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh) ambaye ameeleza kuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mimi ni mwanadamu, ninasahau kama mnavyosahau. Hivyo basi nikisahau nikumbusheni.”
Ilikuwa wakati aliposahau katika swalah ya ´Aswr.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (3/270)
Imechapishwa: 23/08/2020
https://firqatunnajia.com/mtume-alayhis-salaam-anasahau/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)