Swali: Je, mama wa mke wa baba yangu na dada zake ni Mahram wangu?
Jibu: Hapana, sio Mahram zako. Mama wa mke wa baba yako ni Mahram kwa baba yako. Ama wewe huna mafungamano yoyote. Kadhalika hili ni kwa dada zake [wewe huna mafungamano yoyote nao]. Dada zake sio halali kwa baba yako. Vilevile dada za mke wake:
وَأَن تَجْمَعُوا بَيْنَ الْأُخْتَيْنِ
“Na [mmeharamishwa] kuwaoa dada wawili… ” (04:23)
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (38) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-2-4_1.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Je, mama wa mke wa baba yangu na dada zake ni Mahram wangu?
Jibu: Hapana, sio Mahram zako. Mama wa mke wa baba yako ni Mahram kwa baba yako. Ama wewe huna mafungamano yoyote. Kadhalika hili ni kwa dada zake [wewe huna mafungamano yoyote nao]. Dada zake sio halali kwa baba yako. Vilevile dada za mke wake:
وَأَن تَجْمَعُوا بَيْنَ الْأُخْتَيْنِ
“Na [mmeharamishwa] kuwaoa dada wawili… ” (04:23)
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (38) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-2-4_1.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/mtu-kumuoa-mama-wa-mke-wa-baba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)