Swali: Mtu ambaye amesoma elimu kupitia kwenye vitabu na kaseti inajuzu kwake kufanya Da´wah?
Jibu: Ametakasika Allaah. Huyu hajasoma. Mwenye kuchukua elimu kwa wasiokuwa wanachuoni hajasoma elimu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/adaab-11-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 01/05/2015
Swali: Mtu ambaye amesoma elimu kupitia kwenye vitabu na kaseti inajuzu kwake kufanya Da´wah?
Jibu: Ametakasika Allaah. Huyu hajasoma. Mwenye kuchukua elimu kwa wasiokuwa wanachuoni hajasoma elimu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/adaab-11-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 01/05/2015
https://firqatunnajia.com/mtu-kama-huyu-bado-hajasoma/