Swali: Kuna mwanamke ilimjilia hedhi ndani ya Ramadhaan kisha akalipa siku hizo kisha akaifuatishia siku sita za Shawwaal. Je, anapata ujira?
Ibn Baaz: Amefunga ndani ya mwezi wa Shawwaal?
Muulizaji: Hapana. Mwezi wa Shawwaal ulimalizika na hakuwahi kufunga zile siku sita.
Jibu: Shawwaal ikimalizika hakuna tena funga. Wakati wake umekwishapita. Lakini afunge… afunge siku tatu za kila mwezi au afunge jumatatu na alkhamisi kila mwezi. Zote hizo ni kheri. Fadhilah za Allaah ni pana.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23342/حكم-قضاء-ست-شوال-بعد-انتهاء-شوال
- Imechapishwa: 03/05/2022
Swali: Kuna mwanamke ilimjilia hedhi ndani ya Ramadhaan kisha akalipa siku hizo kisha akaifuatishia siku sita za Shawwaal. Je, anapata ujira?
Ibn Baaz: Amefunga ndani ya mwezi wa Shawwaal?
Muulizaji: Hapana. Mwezi wa Shawwaal ulimalizika na hakuwahi kufunga zile siku sita.
Jibu: Shawwaal ikimalizika hakuna tena funga. Wakati wake umekwishapita. Lakini afunge… afunge siku tatu za kila mwezi au afunge jumatatu na alkhamisi kila mwezi. Zote hizo ni kheri. Fadhilah za Allaah ni pana.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23342/حكم-قضاء-ست-شوال-بعد-انتهاء-شوال
Imechapishwa: 03/05/2022
https://firqatunnajia.com/mtu-anaweza-kulipa-siku-sita-za-shawwal-baada-ya-kumalizika-mwezi-wa-shawwaal/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)