Swali: Nilitawadha kwa ajili ya Maghrib na nikaswali. Kisha baada ya swalah nikaona kuna kitu kilikuwa kimekamata kwenye mguu wangu na nikawa nimekiondosha. Ni ipi hukumu ya wudhuu´ na swalah yangu?
Jibu: Ikiwa kitu hicho kilikuwa kimebana ina maana ya kwamba maji hayakufika kwenye ngozi chini yake. Kiondoshe, utawadhe na urudi kuswali tena. Ni wazi ya kwamba kuna sehemu katika kiungo chako cha mwili ambayo haikupatwa na maji. Hii ni yakini. Kilicho bana kiko wazi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-%201%20-%202%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Nilitawadha kwa ajili ya Maghrib na nikaswali. Kisha baada ya swalah nikaona kuna kitu kilikuwa kimekamata kwenye mguu wangu na nikawa nimekiondosha. Ni ipi hukumu ya wudhuu´ na swalah yangu?
Jibu: Ikiwa kitu hicho kilikuwa kimebana ina maana ya kwamba maji hayakufika kwenye ngozi chini yake. Kiondoshe, utawadhe na urudi kuswali tena. Ni wazi ya kwamba kuna sehemu katika kiungo chako cha mwili ambayo haikupatwa na maji. Hii ni yakini. Kilicho bana kiko wazi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-%201%20-%202%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/mtu-anapata-kitu-kilichobana-kwenye-mguu-baada-ya-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)