Swali: Mtu apafanye nini sehemu ya makaburi pa zamani ambapo kumegeuka barabara inayopitwa na watu na wanyama?
Jibu: Wale watu wa makaburi wana haki zao kwa kuwa ni waislamu. Kwa ajili hii ndio maana Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameakataza kuyakanyaga na kukaa juu yake na kusema:
“Mmoja wenu kukaa juu ya kaa likaunguza nguo zake na likaingia mpaka kwenye ngozi yake ni bora kwake kuliko kukaa juu ya kaburi.”[1]
Kama ambavyo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza makaburi yasitwezwe amekataza vilevile yasiadhimishwe kwa njia inayopelekea katika kupetuka mipaka na shirki. Kwa hiyo amekataza (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) makaburi yasitiwe chokaa na yasijengewe na kusiandikwe juu yake.
Suala hili kuhusu sehemu ya makaburi ya zamani ambapo kumegeuzwa ni njia na barabara kwa watembeaji na magari na njia ya wanyama ni lazima lipelekwe mahakamani ili wafanye linalopasa na kuilinda sehemu ya makaburi na kujenga njia pembezoni mwake ambayo itatumiwa na watu ili kwenda kule wanakoenda.
[1] Muslim (971).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/210)
- Imechapishwa: 26/08/2021
Swali: Mtu apafanye nini sehemu ya makaburi pa zamani ambapo kumegeuka barabara inayopitwa na watu na wanyama?
Jibu: Wale watu wa makaburi wana haki zao kwa kuwa ni waislamu. Kwa ajili hii ndio maana Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameakataza kuyakanyaga na kukaa juu yake na kusema:
“Mmoja wenu kukaa juu ya kaa likaunguza nguo zake na likaingia mpaka kwenye ngozi yake ni bora kwake kuliko kukaa juu ya kaburi.”[1]
Kama ambavyo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza makaburi yasitwezwe amekataza vilevile yasiadhimishwe kwa njia inayopelekea katika kupetuka mipaka na shirki. Kwa hiyo amekataza (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) makaburi yasitiwe chokaa na yasijengewe na kusiandikwe juu yake.
Suala hili kuhusu sehemu ya makaburi ya zamani ambapo kumegeuzwa ni njia na barabara kwa watembeaji na magari na njia ya wanyama ni lazima lipelekwe mahakamani ili wafanye linalopasa na kuilinda sehemu ya makaburi na kujenga njia pembezoni mwake ambayo itatumiwa na watu ili kwenda kule wanakoenda.
[1] Muslim (971).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/210)
Imechapishwa: 26/08/2021
https://firqatunnajia.com/mtu-afanye-nini-na-sehemu-ya-makaburi-ya-zamani-ambapo-kumegeuzwa-barabara/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)