Mtu Afanye Nini Kwa Msahafu Uliyoanguka?

Swali: Ni kipi kilichowekwa katika Shari´ah mtu akiangusha msahafu? Imewekwa katika Shari´ah kuubusu?

Jibu: Kilichowekwa katika Shari´ah ni kuukota. Tosha.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
  • Imechapishwa: 28/11/2016