Swali: Je, mtoto wa zinaa ataingia Peponi? Imesemekana kuwa mtoto wa zinaa ni najisi na Peponi hakuingii mnajisi.
Jibu: Akifa hali ya kuwa ni muislamu ataingia Peponi. Kuwa kwake mtoto wa nje ya ndoa sio kikwazo. Mtoto wa nje ya ndoa sio najisi. Dhambi ya uzinzi ni kwa yule mzinifu na sio kwa yule aliyeumbwa kwa manii ya zinaa. Amesema (Ta´ala):
وَلَا تَزِرُ وَازِرَةٌ وِزْرَ أُخْرَىٰ
“Na wala mbebaji [wa dhambi] hatabeba mzigo wa mwengine.” (17:15)
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Muislamu hanajisiki.”
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (3/350-351)
- Imechapishwa: 23/08/2020
Swali: Je, mtoto wa zinaa ataingia Peponi? Imesemekana kuwa mtoto wa zinaa ni najisi na Peponi hakuingii mnajisi.
Jibu: Akifa hali ya kuwa ni muislamu ataingia Peponi. Kuwa kwake mtoto wa nje ya ndoa sio kikwazo. Mtoto wa nje ya ndoa sio najisi. Dhambi ya uzinzi ni kwa yule mzinifu na sio kwa yule aliyeumbwa kwa manii ya zinaa. Amesema (Ta´ala):
وَلَا تَزِرُ وَازِرَةٌ وِزْرَ أُخْرَىٰ
“Na wala mbebaji [wa dhambi] hatabeba mzigo wa mwengine.” (17:15)
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Muislamu hanajisiki.”
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (3/350-351)
Imechapishwa: 23/08/2020
https://firqatunnajia.com/mtoto-wa-nje-ya-ndoa-ataingia-peponi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)