Swali: Mimi nimeoa wanawake wawili na mwanangu anataka kumuoa dada yake mke wangu wa pili. Je, inafaa?
Jibu: Ndio, hapana vibaya. Inafaa kwa baba akamuoa mwanamke na mtoto wake wa kiume akamuoa dada yake huyo mwanamke. Hapana vibaya.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (36)
- Imechapishwa: 10/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)