Swali: Kila anapoingia baba yangu humsimamia na kumbusu kichwa chake.
Jibu: Jambo ni lenye wasaa. Hadiyth ya Faatwimah inasema kwamba kila pale ambapo anaingia (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipo husimama kwa ajili yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na kinyume chake. Hivo ndivo walivyopokea jopo la wanazuoni kwa cheni ya wapokezi Swahiyh akiwemo Abu Daawuud. Haafidhw na ´Allaamah Ibn Muflih ameyataja hayo katika ”Kitaab-ul-Aadaab” katika yale yanayompasa mwana juu ya baba yake. Kwa hiyo hapana vibaya kufanya hivo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24257/حكم-القيام-للوالد-وتقبيل-راسه
- Imechapishwa: 20/09/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket