Mtoto amemkojolea mswaliji ndani ya swalah

Swali: Vipi najisi ikimpata mswaliji na hawezi kuiondosha?

Jibu: Aiondoshe.

Swali: Vipi mtoto akimkojolea ilihali amesujudu?

Jibu: Swalah inabatilika. Katika hali hiyo atasimama na kuosha yale yaliyopatwa na najisi hiyo. Lakini hili ni pale mwanzoni mwa Uislamu. Baada ya hapo kulifuatia hukumu nyingine.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23662/حكم-النجاسة-اذا-وقعت-على-المصلي
  • Imechapishwa: 25/03/2024