Swali: Je, inafaa kusafiri kwa ajili ya kutoa mkono wa pole ni mamoja ni kwa ajili ya ndugu au asiyekuwa ndugu?
Jibu: Hapana vibaya. Hapana vibaya mtu akasafiri kwa ajili ya tanzia au kumswalia maiti. Hapana neno.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23661/هل-يجوز-السفر-من-اجل-التعزية
- Imechapishwa: 25/03/2024
Swali: Je, inafaa kusafiri kwa ajili ya kutoa mkono wa pole ni mamoja ni kwa ajili ya ndugu au asiyekuwa ndugu?
Jibu: Hapana vibaya. Hapana vibaya mtu akasafiri kwa ajili ya tanzia au kumswalia maiti. Hapana neno.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23661/هل-يجوز-السفر-من-اجل-التعزية
Imechapishwa: 25/03/2024
https://firqatunnajia.com/kusafiri-kwa-ajili-ya-rambirambi-au-kumswalia-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)