Swali: Ikiwa mtu alikuwa ni maamuma kisha imamu akamaliza kuswali na akabakiwa na Rak´ah mbili na wale waliokuwa mbele yake wakasimama na kuondoka na mbele yake karibu kuna Sutrah – ja, aisogelee au abaki mahali pake?
Jibu: Ni sawa kufanya hivo ikiwa anakhofia kitu. Vinginevyo abaki mahali pake na inatosha. Ni sawa kufanya hivo ikiwa anachelea watu kumpita mbele yake, hivyo asogee mbele.
Swali: Vipi akiwa Haram na yuko mbali na Ka´bah?
Jibu: Hata kama. Hahitaji Sutrah muda wa kuwa yuko ndani ya msikiti.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23665/ما-يفعل-من-زالت-السترة-عنه-اثناء-الصلاة
- Imechapishwa: 25/03/2024
Swali: Ikiwa mtu alikuwa ni maamuma kisha imamu akamaliza kuswali na akabakiwa na Rak´ah mbili na wale waliokuwa mbele yake wakasimama na kuondoka na mbele yake karibu kuna Sutrah – ja, aisogelee au abaki mahali pake?
Jibu: Ni sawa kufanya hivo ikiwa anakhofia kitu. Vinginevyo abaki mahali pake na inatosha. Ni sawa kufanya hivo ikiwa anachelea watu kumpita mbele yake, hivyo asogee mbele.
Swali: Vipi akiwa Haram na yuko mbali na Ka´bah?
Jibu: Hata kama. Hahitaji Sutrah muda wa kuwa yuko ndani ya msikiti.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23665/ما-يفعل-من-زالت-السترة-عنه-اثناء-الصلاة
Imechapishwa: 25/03/2024
https://firqatunnajia.com/mswaliji-kusogea-mbele-akifuata-sutrah/