Swali: Wiki ijayo kuna waislamu ambao watasherehekea mazazi ya Mtume. Unatunasihi nini sisi juu ya matangamano yetu pamoja na familia zetu katika miji yetu?
Jibu: Wanasihini na muwabainishie kuwa jambo hili halina msingi katika Shari´ah na kwamba ni Bid´ah. Wabainishieni hili. Huu ndio wajibu wenu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (03) http://alfawzan.af.org.sa/node/2046
- Imechapishwa: 22/10/2016
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)