Swali: Muulizaji huyu ameleta karatasi na anauliza kama inajuzu kuisambaza karatasi kama hizi msikitini ambazo ndani yake mna kusamehewa madhambi idadi fulani [kwa kuleta nyuradi maalum]?
Jibu: Hapana. Karatasi kama hizi zisisambazwe. Kusisambazwe kitu isipokuwa kilichothibiti katika Qur-aan na Sunnah na kitu hicho kiwe kimetazamwa na wanachuoni na kukipitisha. Kusienezwe kitu isipokuwa kilicho na muhuri wa baraza la wanachuoni wakubwa. Haifai kwa kila mwenye kuchapisha kukasambazwa alichoandika. Ni lazima kwanza kipitia kwenye baraza la wanachuoni wakubwa na kitazamwe na kuchunguzwa kama kinafaa au hapana.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (72) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-10-14.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Muulizaji huyu ameleta karatasi na anauliza kama inajuzu kuisambaza karatasi kama hizi msikitini ambazo ndani yake mna kusamehewa madhambi idadi fulani [kwa kuleta nyuradi maalum]?
Jibu: Hapana. Karatasi kama hizi zisisambazwe. Kusisambazwe kitu isipokuwa kilichothibiti katika Qur-aan na Sunnah na kitu hicho kiwe kimetazamwa na wanachuoni na kukipitisha. Kusienezwe kitu isipokuwa kilicho na muhuri wa baraza la wanachuoni wakubwa. Haifai kwa kila mwenye kuchapisha kukasambazwa alichoandika. Ni lazima kwanza kipitia kwenye baraza la wanachuoni wakubwa na kitazamwe na kuchunguzwa kama kinafaa au hapana.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (72) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-10-14.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/msimamo-juu-ya-vipeperushi-vinavyoenezwa-misikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)