Swali: Baadhi ya watu wanasoma kila siku Suurah “Yaa Siyn” na “al-Waaqi´ah” na wanasema kuwa zina fadhilah za kidunia na za Aakhirah. Je, haya yamethibiti?
Jibu: Sijui kuwa kama yamethibiti. Kinachosomwa kila siku, asubuhi na jioni ni Aayat-ul-Kursiy, Suurat-ul-Ikhlaasw na Qul-A´uudhubi Rabbil-Falaq. Hizi nzio zinasomwa kwenye nyuradi za asubuhi na jioni. Ama kusoma al-Waaqi´ah na Yaa Siyn, sijui lolote juu ya haya.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (72) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-10-14.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Baadhi ya watu wanasoma kila siku Suurah “Yaa Siyn” na “al-Waaqi´ah” na wanasema kuwa zina fadhilah za kidunia na za Aakhirah. Je, haya yamethibiti?
Jibu: Sijui kuwa kama yamethibiti. Kinachosomwa kila siku, asubuhi na jioni ni Aayat-ul-Kursiy, Suurat-ul-Ikhlaasw na Qul-A´uudhubi Rabbil-Falaq. Hizi nzio zinasomwa kwenye nyuradi za asubuhi na jioni. Ama kusoma al-Waaqi´ah na Yaa Siyn, sijui lolote juu ya haya.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (72) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-10-14.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/kusoma-kila-siku-yaa-siyn-na-al-waaqiah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)