Swali: Ikiwa mtu amealikwa katika karamu ya ndoa na kukatokea usengenyi na asiweze kubadilisha kitu. Je, anapata dhambi kwa kuketi kwake au ni lazima atoke?
Jibu: Ima akemee au atoke.
Swali: Ikiwa amealikwa katika karamu ya harusi?
Jibu: Haijalishi kitu. Muhimu ni kwamba ameshafika na ameitikia mwaliko. Kula chakula sio jambo la lazima.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23202/حكم-من-دعي-الى-وليمة-وحصلت-غيبة
- Imechapishwa: 25/11/2023
Swali: Ikiwa mtu amealikwa katika karamu ya ndoa na kukatokea usengenyi na asiweze kubadilisha kitu. Je, anapata dhambi kwa kuketi kwake au ni lazima atoke?
Jibu: Ima akemee au atoke.
Swali: Ikiwa amealikwa katika karamu ya harusi?
Jibu: Haijalishi kitu. Muhimu ni kwamba ameshafika na ameitikia mwaliko. Kula chakula sio jambo la lazima.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23202/حكم-من-دعي-الى-وليمة-وحصلت-غيبة
Imechapishwa: 25/11/2023
https://firqatunnajia.com/msimamo-gani-juu-ya-usengenyi-unaotokea-katika-mikusanyiko-ya-watu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)