Swali: Ni lazima kuandikiana mkopo?
Jibu: Allaah ameamrisha jambo hilo. Kumepokelewa katika Hadiyth yanayotilia nguvu jambo hilo. Inatakiwa kuandikiana wakati wa kukopeshana, kwa sababu kila mmoja anaweza kusahau.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23205/ما-حكم-كتابة-الدين
- Imechapishwa: 25/11/2023
Swali: Ni lazima kuandikiana mkopo?
Jibu: Allaah ameamrisha jambo hilo. Kumepokelewa katika Hadiyth yanayotilia nguvu jambo hilo. Inatakiwa kuandikiana wakati wa kukopeshana, kwa sababu kila mmoja anaweza kusahau.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23205/ما-حكم-كتابة-الدين
Imechapishwa: 25/11/2023
https://firqatunnajia.com/kuandikiana-wakati-wa-kukopeshana/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)