387 – Abu Hurayrah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:

أقربُ ما يكون العبدُ مِن ربهِ عز وجل وهو ساجدٌ، فأكثِروا الدُّعاءَ

“Mja anakuwa karibu zaidi na Mola (´Azza wa Jall) wakati amesujudu. Hivyo basi, ombeni du´aa kwa wingi.”[1]

Ameipokea Muslim.

[1] Swahiyh.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/278)
  • Imechapishwa: 25/11/2023
  • taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy