Swali: Wakati fulani mtu anapita karibu na mnaswara au myahudi au ambaye hajui hali yake. Je, ampe salamu?
Jibu: Amsalimie yule atayekutana naye. Kama ambavo amesema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) baada ya kuulizwa: “Ni Uislamu ipi bora?” Akasema:
“Kulisha chakula na kumtolea salamu unayemjua na usiyemjua.”
Isipokuwa ukijua kuwa ni myahudi, mnaswara au makafiri wengine basi usianze kuwasalimia. Lakini usipojua msalimie utayekutana naye.
Swali: Vipi akiwa na haja kwake?
Jibu: Asimtolee salamu. Amuulize hali yake, anavyoendelea na hali ya watoto wake. Asimwambie:
السلام عليكم
“Amani ya Allaah iwe juu yenu.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23465/حكم-القاء-السلام-على-من-لا-يعلم-بحالهم
- Imechapishwa: 26/01/2024
Swali: Wakati fulani mtu anapita karibu na mnaswara au myahudi au ambaye hajui hali yake. Je, ampe salamu?
Jibu: Amsalimie yule atayekutana naye. Kama ambavo amesema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) baada ya kuulizwa: “Ni Uislamu ipi bora?” Akasema:
“Kulisha chakula na kumtolea salamu unayemjua na usiyemjua.”
Isipokuwa ukijua kuwa ni myahudi, mnaswara au makafiri wengine basi usianze kuwasalimia. Lakini usipojua msalimie utayekutana naye.
Swali: Vipi akiwa na haja kwake?
Jibu: Asimtolee salamu. Amuulize hali yake, anavyoendelea na hali ya watoto wake. Asimwambie:
السلام عليكم
“Amani ya Allaah iwe juu yenu.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23465/حكم-القاء-السلام-على-من-لا-يعلم-بحالهم
Imechapishwa: 26/01/2024
https://firqatunnajia.com/msalimie-yule-unayekutana-naye/