Swali: Niufanye nini msahafu mtukufu ambao makaratasi yake yamechanikachanika?
Jibu: Inajuzu kwako kuufukia kwenye ardhi ya msikiti wowote miongoni mwa misikiti iliyopo. Vilevile inajuzu kwako kuuchoma moto kwa kumuiga ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anh).
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (4/98)
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Niufanye nini msahafu mtukufu ambao makaratasi yake yamechanikachanika?
Jibu: Inajuzu kwako kuufukia kwenye ardhi ya msikiti wowote miongoni mwa misikiti iliyopo. Vilevile inajuzu kwako kuuchoma moto kwa kumuiga ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anh).
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (4/98)
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/msahafu-wa-zamani-unafanywa-nini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)