Swali: Nimepata Qur-aan tukufu ambayo imechapishwa vibaya kwa njia ya mpangilio wa Suurah. Je, inajuzu kusoma ndani yake? Na ikiwa haijuzu mnanishauri kuufanya nini? Niuchome moto au niuweke wapi?
Jibu: Uchomwe moto au ufukie sehemu ambayo ni pasafi mbali na wanapopita watu na kutupa taka.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (4/99)
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Nimepata Qur-aan tukufu ambayo imechapishwa vibaya kwa njia ya mpangilio wa Suurah. Je, inajuzu kusoma ndani yake? Na ikiwa haijuzu mnanishauri kuufanya nini? Niuchome moto au niuweke wapi?
Jibu: Uchomwe moto au ufukie sehemu ambayo ni pasafi mbali na wanapopita watu na kutupa taka.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (4/99)
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/msahafu-uliochapishwa-makosa-unafanywa-nini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)