Swali: Ni nani ambaye alizipa majina Suurah za Qur-aan tukufu; ni Mtume au nani?ur-aan kwenye msahafu au kusoma bila ya msahafu?
Jibu: Hatuna andiko kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) lenye kutolea dalili juu ya majina ya Suurah zote. Lakini hata hivyo kumethibiti baadhi ya Hadiyth Swahiyh kuzipa majina baadhi yake kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam); kama mfano wa al-Baqarah na al-´Imraan. Ama Suurah nyinginezo udhahiri ni kwamba zilipewa majina na Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum).
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (4/07)
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Ni nani ambaye alizipa majina Suurah za Qur-aan tukufu; ni Mtume au nani?ur-aan kwenye msahafu au kusoma bila ya msahafu?
Jibu: Hatuna andiko kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) lenye kutolea dalili juu ya majina ya Suurah zote. Lakini hata hivyo kumethibiti baadhi ya Hadiyth Swahiyh kuzipa majina baadhi yake kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam); kama mfano wa al-Baqarah na al-´Imraan. Ama Suurah nyinginezo udhahiri ni kwamba zilipewa majina na Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum).
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (4/07)
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/suurah-za-qur-aan-nani-alizipa-majina/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)