Swali: Mwanaume amemchumbia mwanamke kisha baadaye akajirejea na akaamua badala yake kumposa mama yake. Je, inafaa?
Jibu: Ndio. Muda wa kuwa hajafunga ndoa na msichana, inafaa kwake kumuoa mama yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (36)
- Imechapishwa: 11/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)