Swali: Wale wanaoyaabudu makaburi na wanawataka uokozi majini wana shirki ambazo ziko wazi. Mfano wa watu hawa mtu akiwaendea aanze kuwalingania katika “hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah” ambayo ndio Tawhiyd au aende nao hatua kwa hatua ili awaeleweshe baada ya muda mfupi kidogo?
Jibu: Aanze nao Tawhiyd. Matendo yao hayatowafaa kitu isipokuwa baada ya Tawhiyd.
Swali: Kuna ambao wanasema kuwa sisi tunawakimbiza watu kwa haya?
Jibu: Huu ni ujinga wao. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alianza kwa Tawhiyd kabla ya kuanza na swalah, zakaah wala kutoa swadaqah. Bali alianza kwa kulingania katika “hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah”.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 138-139
- Imechapishwa: 22/01/2017
Swali: Wale wanaoyaabudu makaburi na wanawataka uokozi majini wana shirki ambazo ziko wazi. Mfano wa watu hawa mtu akiwaendea aanze kuwalingania katika “hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah” ambayo ndio Tawhiyd au aende nao hatua kwa hatua ili awaeleweshe baada ya muda mfupi kidogo?
Jibu: Aanze nao Tawhiyd. Matendo yao hayatowafaa kitu isipokuwa baada ya Tawhiyd.
Swali: Kuna ambao wanasema kuwa sisi tunawakimbiza watu kwa haya?
Jibu: Huu ni ujinga wao. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alianza kwa Tawhiyd kabla ya kuanza na swalah, zakaah wala kutoa swadaqah. Bali alianza kwa kulingania katika “hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah”.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 138-139
Imechapishwa: 22/01/2017
https://firqatunnajia.com/mlinganizi-awalinganie-tawhiyd-washirikina-moja-kwa-moja-au-aende-nao-hatua-kwa-hatua/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket