Swali: Wanachuoni wakisema mtu fulani ni zandiki (زنديق) ina maana kuwa ni kafiri?
Jibu: Zandiki kwa mujibu wa istilahi ya waliokuja nyuma ni mnafiki ambao wamezungumziwa na Qur-aan ambao wanadhihirisha imani na wanaficha ukafiri. Huyu ndiye zandiki. Ni yule anayedhihirisha imani na anaficha kumkufuru Allaah (´Azza wa Jall). Huyu huitwa ima mnafiki au zandiki. Yote mawili maana yake ni moja.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
- Imechapishwa: 22/01/2017
Swali: Wanachuoni wakisema mtu fulani ni zandiki (زنديق) ina maana kuwa ni kafiri?
Jibu: Zandiki kwa mujibu wa istilahi ya waliokuja nyuma ni mnafiki ambao wamezungumziwa na Qur-aan ambao wanadhihirisha imani na wanaficha ukafiri. Huyu ndiye zandiki. Ni yule anayedhihirisha imani na anaficha kumkufuru Allaah (´Azza wa Jall). Huyu huitwa ima mnafiki au zandiki. Yote mawili maana yake ni moja.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
Imechapishwa: 22/01/2017
https://firqatunnajia.com/zandiki-ni-mtu-gani/