Swali: Wanachuoni wakisema mtu fulani ni zandiki (زنديق) ina maana kuwa ni kafiri?
Jibu: Zandiki kwa mujibu wa istilahi ya waliokuja nyuma ni mnafiki ambao wamezungumziwa na Qur-aan ambao wanadhihirisha imani na wanaficha ukafiri. Huyu ndiye zandiki. Ni yule anayedhihirisha imani na anaficha kumkufuru Allaah (´Azza wa Jall). Huyu huitwa ima mnafiki au zandiki. Yote mawili maana yake ni moja.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
- Imechapishwa: 22/01/2017
Swali: Wanachuoni wakisema mtu fulani ni zandiki (زنديق) ina maana kuwa ni kafiri?
Jibu: Zandiki kwa mujibu wa istilahi ya waliokuja nyuma ni mnafiki ambao wamezungumziwa na Qur-aan ambao wanadhihirisha imani na wanaficha ukafiri. Huyu ndiye zandiki. Ni yule anayedhihirisha imani na anaficha kumkufuru Allaah (´Azza wa Jall). Huyu huitwa ima mnafiki au zandiki. Yote mawili maana yake ni moja.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
Imechapishwa: 22/01/2017
https://firqatunnajia.com/zandiki-ni-mtu-gani/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket