Swali: Hadiyth wakati walipokuja mabedui Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema:
”Nendeni na mnywe mkojo na maziwa yake.”
Jibu: Hawa ni watu ´Uraniyyuun walipatwa na maradhi ambapo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akawatuma wakijitibu kwa mkojo wa ngamia na maziwa yake.
Swali: Wanywe mkojo?
Jibu: Hapana vibaya. Ni msafi kwa kujitibu nao. Kila mnyama ambaye analiwa nyama yake basi mkojo wake ni msafi; mkojo wa ngamia, mkojo wa ng´ombe au mkojo wa mbuzi na kondoo.
Swali: Kwa hiyo hautakiwi kuoshwa?
Jibu: Kwa ajili ya usafi. Ni kwa lengo la usafi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21583/ما-حكم-التداوي-بابوال-الابل-والبانها
- Imechapishwa: 27/08/2022
Swali: Hadiyth wakati walipokuja mabedui Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema:
”Nendeni na mnywe mkojo na maziwa yake.”
Jibu: Hawa ni watu ´Uraniyyuun walipatwa na maradhi ambapo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akawatuma wakijitibu kwa mkojo wa ngamia na maziwa yake.
Swali: Wanywe mkojo?
Jibu: Hapana vibaya. Ni msafi kwa kujitibu nao. Kila mnyama ambaye analiwa nyama yake basi mkojo wake ni msafi; mkojo wa ngamia, mkojo wa ng´ombe au mkojo wa mbuzi na kondoo.
Swali: Kwa hiyo hautakiwi kuoshwa?
Jibu: Kwa ajili ya usafi. Ni kwa lengo la usafi.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21583/ما-حكم-التداوي-بابوال-الابل-والبانها
Imechapishwa: 27/08/2022
https://firqatunnajia.com/mkojo-wa-kila-mnyama-anayeliwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)