Swali: Mume wangu anataka nimueleze sifa za baadhi ya wanawake. Je, nikifanya hivyo itakuwa tendo hili ni katika maasi?
Jibu: Ikiwa anataka kumposa mwanamke huyu ndio maana anataka umueleze sifa zake, hakuna neno. Ama ikiwa anataka kupeleleza wanawake na kujua mazuri ya wanawake, hili ni jambo lisilojuzu. Ukimtii utakuwa umesaidiana nae katika maasi na uadui.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ls–1428-03-04.mp3
- Imechapishwa: 22/09/2020
Swali: Mume wangu anataka nimueleze sifa za baadhi ya wanawake. Je, nikifanya hivyo itakuwa tendo hili ni katika maasi?
Jibu: Ikiwa anataka kumposa mwanamke huyu ndio maana anataka umueleze sifa zake, hakuna neno. Ama ikiwa anataka kupeleleza wanawake na kujua mazuri ya wanawake, hili ni jambo lisilojuzu. Ukimtii utakuwa umesaidiana nae katika maasi na uadui.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ls–1428-03-04.mp3
Imechapishwa: 22/09/2020
https://firqatunnajia.com/mke-kumueleza-mume-wake-sifa-za-wanawake-wengine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)