Swali: Mume wangu ana wake watatu lakini hata hivyo hafanyi uadilifu. Nifanye nini?
Jibu: Sijui anachokusudia kwa neno ´uadilifu`. Ikiwa makusudio ya uadilifu ni katika matumizi, mavazi, makazi [nyumba] na kugawiwa siku sawa, aombe haki yake. Ikiwa amefanya mapungufu katika moja ya mambo haya mane, aombe haki yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (24) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-3-21.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Mume wangu ana wake watatu lakini hata hivyo hafanyi uadilifu. Nifanye nini?
Jibu: Sijui anachokusudia kwa neno ´uadilifu`. Ikiwa makusudio ya uadilifu ni katika matumizi, mavazi, makazi [nyumba] na kugawiwa siku sawa, aombe haki yake. Ikiwa amefanya mapungufu katika moja ya mambo haya mane, aombe haki yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (24) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-3-21.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/mke-huomba-haki-yake-katika-mambo-haya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)