Swali: Mke wake ana tabia mbaya na anampandishia sauti. Anapomnasihi anamjengea hoja kwa mke wa ´Umar bin al-Khattwaab (Radhiya Allaahu ´anh) ambaye alimpandishia sauti na kwamba kitendo hicho hakina neno. Je, dalili yake ni sahihi?
Jibu: Ndio. Amsubirie. Ikiwa anamtaka na ni mama wa watoto wake, amvumilie.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 18/01/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)