Swali: Mke wake ana tabia mbaya na anampandishia sauti. Anapomnasihi anamjengea hoja kwa mke wa ´Umar bin al-Khattwaab (Radhiya Allaahu ´anh) ambaye alimpandishia sauti na kwamba kitendo hicho hakina neno. Je, dalili yake ni sahihi?
Jibu: Ndio. Amsubirie. Ikiwa anamtaka na ni mama wa watoto wake, amvumilie.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 18/01/2024
Swali: Mke wake ana tabia mbaya na anampandishia sauti. Anapomnasihi anamjengea hoja kwa mke wa ´Umar bin al-Khattwaab (Radhiya Allaahu ´anh) ambaye alimpandishia sauti na kwamba kitendo hicho hakina neno. Je, dalili yake ni sahihi?
Jibu: Ndio. Amsubirie. Ikiwa anamtaka na ni mama wa watoto wake, amvumilie.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
Imechapishwa: 18/01/2024
https://firqatunnajia.com/mke-anampandishia-sauti-mume-wake/