Swali: Je, mume analazimika kumtolea Zakaat-ul-Fitwr mke ambaye kati yao kuna magomvi makubwa?
Jibu: Zakaat-ul-Fitwr inamlazimu mtu mwenyewe na kila ambaye analazimika kumhudumia akiwemo mke kwa sababu ni lazima kumpa matumizi. Kukiwa kati yao kuna mgogoro mkubwa ambao hukumu yake imepelekea kuwa ni muasi na kuanguka kumhudumia, basi haitomlazimu kumtolea Zakaat-ul-Fitwr kwa sababu ni yenye kufuatia matumizi yake na hivyo Zakaat-ul-Fitwr inadondoka kwa kudondoka kwake matumizi.
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
´Abdul-´Aziyz bin Maaniy´
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (09/368) nr. (606)
- Imechapishwa: 10/05/2022
Swali: Je, mume analazimika kumtolea Zakaat-ul-Fitwr mke ambaye kati yao kuna magomvi makubwa?
Jibu: Zakaat-ul-Fitwr inamlazimu mtu mwenyewe na kila ambaye analazimika kumhudumia akiwemo mke kwa sababu ni lazima kumpa matumizi. Kukiwa kati yao kuna mgogoro mkubwa ambao hukumu yake imepelekea kuwa ni muasi na kuanguka kumhudumia, basi haitomlazimu kumtolea Zakaat-ul-Fitwr kwa sababu ni yenye kufuatia matumizi yake na hivyo Zakaat-ul-Fitwr inadondoka kwa kudondoka kwake matumizi.
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
´Abdul-´Aziyz bin Maaniy´
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (09/368) nr. (606)
Imechapishwa: 10/05/2022
https://firqatunnajia.com/mke-amtolee-zakaat-ul-fitwr-mke-kukiwa-kuna-ugomvi-kati-yao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)