Swali: Je, nimtolee Zakaat-ul-Fitwr yatima ambaye ninamfadhili huko Afrika?
Jibu: Zakaat-ul-Fitwr mtu anaitoa katika ile nchi ambayo Ramadhaan imemkuta akiwa ndani yake. Kwa sababu ni yenye kufuata mwili. Yatima mkusudiwa atajitolea mwenyewe katika nchi yake au atatolewa na jumuiya inayosimamia suala la kumwangalia huko alipo.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
´Abdul-´Aziyz Aalus-Shaykh
Bakr Abu Zayd
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (08/265) nr. (17299)
- Imechapishwa: 10/05/2022
Swali: Je, nimtolee Zakaat-ul-Fitwr yatima ambaye ninamfadhili huko Afrika?
Jibu: Zakaat-ul-Fitwr mtu anaitoa katika ile nchi ambayo Ramadhaan imemkuta akiwa ndani yake. Kwa sababu ni yenye kufuata mwili. Yatima mkusudiwa atajitolea mwenyewe katika nchi yake au atatolewa na jumuiya inayosimamia suala la kumwangalia huko alipo.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
´Abdul-´Aziyz Aalus-Shaykh
Bakr Abu Zayd
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (08/265) nr. (17299)
Imechapishwa: 10/05/2022
https://firqatunnajia.com/zakaat-ul-fitwr-kwa-yatima-ninayemfadhili-nje-ya-nchi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)