Swali: Ni vipi mke anaweza kutoa kafara ikiwa amekaribia kutumbukia kwenye zinaa? Anahisi ni mwenye deni, ametubu na anataka kuhifadhi heshima ya mume wake. Je, ni wajibu kwake kumweleza mume wake aloyafanya?
Jibu: Midhali hakutumbuki kwenye zinaa na amefanya michezo tu, atubu na kunyamazia kitendo chake. Amhimidi Allaah kwa kuwa ametubu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2025-12-1435.mp3
- Imechapishwa: 16/06/2015
Swali: Ni vipi mke anaweza kutoa kafara ikiwa amekaribia kutumbukia kwenye zinaa? Anahisi ni mwenye deni, ametubu na anataka kuhifadhi heshima ya mume wake. Je, ni wajibu kwake kumweleza mume wake aloyafanya?
Jibu: Midhali hakutumbuki kwenye zinaa na amefanya michezo tu, atubu na kunyamazia kitendo chake. Amhimidi Allaah kwa kuwa ametubu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2025-12-1435.mp3
Imechapishwa: 16/06/2015
https://firqatunnajia.com/mke-amefanya-michezo-ya-kimapenzi-na-mwanaume/