Swali: Ni vipi mtu anaweza kutofautisha kati ya usengenyaji na uvumi ambako unakutahadharisha na kuwasema vibaya na kutahadharisha Ahl-ul-Bid´ah wadh-Dhwalaal?
Jibu: Hili linategemea maslahi na nia. Ikiwa una uhakika kundi fulani ni Ahl-ul-Bid´ah na wanayoamini na ukatahadharisha nao, hii ni katika nasaha na sio usengenyaji wala uvumi. Hii ni nasaha. Lakini hata hivyo tatizo la leo ni kwamba hujui ni nini Bid´ah na watu wote ni watu wa Bid´ah kwa mujibu wako. Hivi watu wote wanatuhumiana Bid´ah. Wakati huo huo hawajui Bid´ah ni kitu gani. Inahusiana tu na mizozo ilio kwenye nafsi zao. Lilio la wajibu ni mtu asizungumze isipokuwa kwa elimu. Ni lazima kwa mtu azungumze kwa kiasi na haja tu na faida na asizidishe kuwasha moto juu ya mwingine.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2025-12-1435.mp3
- Imechapishwa: 16/06/2015
Swali: Ni vipi mtu anaweza kutofautisha kati ya usengenyaji na uvumi ambako unakutahadharisha na kuwasema vibaya na kutahadharisha Ahl-ul-Bid´ah wadh-Dhwalaal?
Jibu: Hili linategemea maslahi na nia. Ikiwa una uhakika kundi fulani ni Ahl-ul-Bid´ah na wanayoamini na ukatahadharisha nao, hii ni katika nasaha na sio usengenyaji wala uvumi. Hii ni nasaha. Lakini hata hivyo tatizo la leo ni kwamba hujui ni nini Bid´ah na watu wote ni watu wa Bid´ah kwa mujibu wako. Hivi watu wote wanatuhumiana Bid´ah. Wakati huo huo hawajui Bid´ah ni kitu gani. Inahusiana tu na mizozo ilio kwenye nafsi zao. Lilio la wajibu ni mtu asizungumze isipokuwa kwa elimu. Ni lazima kwa mtu azungumze kwa kiasi na haja tu na faida na asizidishe kuwasha moto juu ya mwingine.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2025-12-1435.mp3
Imechapishwa: 16/06/2015
https://firqatunnajia.com/mizozo-ya-kibinafsi-isikuzwe-katika-tabdiy/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)