Swali: Kuhusiana na mkao wa watu walioghadhibikiwa[1] ni kuhusu ndani ya swalah peke yake au katika hali zote?
Jibu: Udhahiri wa Hadiyth ni kuenea.
Swali: Lakini ni kuhusu kuweka mkono wa kushoto peke yake?
Jibu: Ndio.
Swali: Maneno yake:
“Mkao wa watu walioghadhibikiwa.”
yamethibiti?
Jibu: Udhahiri wa Hadiyth ni kwamba inakataza mkao wa watu walioghadhibikiwa.
Swali: Ni Swahiyh?
Jibu: Haina neno.
[1] Kuegemea mkono wa kushoto kwa nyuma ya mgongo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23345/حكم-جلسة-المغضوب-عليهم-بالصلاة-وغيرها
- Imechapishwa: 30/12/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)