Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusema kwamba yeye anajua yaliyofungamana na manufaa ya Da´wah zaidi kuliko Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Manen haya ni batili na kufuru. Huku ni kumtia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika ujinga. Hili linaingia katika lile fungu la kwanza la maneno ya Shaykh:
“Mwenye kuamini kwamba uongofu wa mwingine asiyekuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni mkamilifu zaidi kuliko uongofu wake ni kafiri.”
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 110
- Imechapishwa: 17/11/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)