Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusema kwamba yeye anajua yaliyofungamana na manufaa ya Da´wah zaidi kuliko Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Manen haya ni batili na kufuru. Huku ni kumtia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika ujinga. Hili linaingia katika lile fungu la kwanza la maneno ya Shaykh:
“Mwenye kuamini kwamba uongofu wa mwingine asiyekuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni mkamilifu zaidi kuliko uongofu wake ni kafiri.”
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 110
- Imechapishwa: 17/11/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusema kwamba yeye anajua yaliyofungamana na manufaa ya Da´wah zaidi kuliko Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Manen haya ni batili na kufuru. Huku ni kumtia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika ujinga. Hili linaingia katika lile fungu la kwanza la maneno ya Shaykh:
“Mwenye kuamini kwamba uongofu wa mwingine asiyekuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni mkamilifu zaidi kuliko uongofu wake ni kafiri.”
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 110
Imechapishwa: 17/11/2018
https://firqatunnajia.com/mjuzi-zaidi-wa-manufaa-ya-dawah-kuliko-mtume/