Swali: Wanandoa wafanye nini, ambao tayari wameruzukiwa watoto, ikiwa waliozeshwa na mjomba?
Jibu: Ndoa inatakiwa kufungwa upya na kurekebishwa. Hata hivyo watoto watamwandama baba yao kwa sababu jimaa ilikuwa ya utata.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (45)
- Imechapishwa: 20/07/2024
Swali: Wanandoa wafanye nini, ambao tayari wameruzukiwa watoto, ikiwa waliozeshwa na mjomba?
Jibu: Ndoa inatakiwa kufungwa upya na kurekebishwa. Hata hivyo watoto watamwandama baba yao kwa sababu jimaa ilikuwa ya utata.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (45)
Imechapishwa: 20/07/2024
https://firqatunnajia.com/mjomba-ndiye-kamuozesha/