Swali: Baadhi ya watu wanapokatazwa kuvuta sigara, kunyoa ndevu au maasi mengine wanasema kuwa hayo ni mambo madogomadogo na matawi tu na kwamba sio wakati wake hivi sasa.
Jibu: Huyu ni mjinga wa kutupia. Afanyiwe ukali na kubainishiwa kwamba mambo ya dini hayaitwi namna hiyo kwamba ni ´maganda`. Mambo yote ya dini ni ya msingi, kheri na uongofu. Hilo ni kutokana na ujinga wake na uchache wa elimu yake.
Swali: Mtu huyo anajinasibisha na walinganizi?
Jibu: Haijalishi kitu. Awekewe wazi kwamba msemo huo ni khatari na kosa kubwa. Atubie na kumwomba Allaah msamaha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24009/حكم-من-يعد-الدخان-وحلق-اللحية-من-القشور
- Imechapishwa: 15/08/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket