Swali: Kuna mtu alifanya ´Umrah na wakati wa Sa´y akazunguka mizunguko kumi na nne kwa sababu ya kufahamu kwake vibaya. Je, ´Umrah yake ni yenye kukubaliwa na sahihi?
Jibu: ´Umrah yake ni yenye kukubaliwa. Mizunguko yake kumi na nne ni yenye kukubaliwa; saba ndio inayosihi na mingine saba ni ziada isiyokuwa na maana yoyote.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (106) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoul%20lahfan-%2027-03-1441.mp3
- Imechapishwa: 16/09/2020
Swali: Kuna mtu alifanya ´Umrah na wakati wa Sa´y akazunguka mizunguko kumi na nne kwa sababu ya kufahamu kwake vibaya. Je, ´Umrah yake ni yenye kukubaliwa na sahihi?
Jibu: ´Umrah yake ni yenye kukubaliwa. Mizunguko yake kumi na nne ni yenye kukubaliwa; saba ndio inayosihi na mingine saba ni ziada isiyokuwa na maana yoyote.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (106) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoul%20lahfan-%2027-03-1441.mp3
Imechapishwa: 16/09/2020
https://firqatunnajia.com/mjinga-ametembea-say-mizunguko-kumi-na-nne/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)