Swali: Je, inafaa kwa mjane kwenda msikitini kwa ajili ya kuswalia mume wake swalah ya jeneza?
Jibu: Haina neno akafanya hivo mchana. Inafaa kwake kutoka nje kwa ajili ya mahitaji yake wakati wa mchana na sio usiku. Kumswalia mume wake swalah ya jeneza ni miongoni mwa haja.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (40)
- Imechapishwa: 06/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)