Swali: Je, kila anapotajwa Mtume au Nabii miongoni mwa Manabii aswaliwe kama jinsi anavyoswaliwa Mtume wetu Muhammad (Swalla Allaah ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Ndio. Mitume wote wanaswaliwa (´alayhimus-Swalaat was-Salaam). Vilevile hata kuwaswalia wasiokuwa Mitume katika baadhi ya nyakati ni sawa midhali hachukulii hilo kama alama fulani na ada. Lakini [kanuni inayojulikana ni kwamba] Mitume ndio wenye kuswaliwa, Maswahabah wanatakiwa radhi na waliokuja baada yao wanatakiwa rehema.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=4738
- Imechapishwa: 17/11/2014
Swali: Je, kila anapotajwa Mtume au Nabii miongoni mwa Manabii aswaliwe kama jinsi anavyoswaliwa Mtume wetu Muhammad (Swalla Allaah ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Ndio. Mitume wote wanaswaliwa (´alayhimus-Swalaat was-Salaam). Vilevile hata kuwaswalia wasiokuwa Mitume katika baadhi ya nyakati ni sawa midhali hachukulii hilo kama alama fulani na ada. Lakini [kanuni inayojulikana ni kwamba] Mitume ndio wenye kuswaliwa, Maswahabah wanatakiwa radhi na waliokuja baada yao wanatakiwa rehema.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=4738
Imechapishwa: 17/11/2014
https://firqatunnajia.com/mitume-wengine-wanapotajwa-wanaswaliwa-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)