Swali: Inajuzu kusimamia au kujenga makanisa au kuwauzia chakula watawa?
Jibu: Haijuzu kuwahudumia, kufanya kazi wala kusaidia majengo ya shirki na majengo ya kuabudiwa asiyekuwa Allaah. Mambo kama hayo yanatakiwa kufanywa misikitini. Allaah ameamrisha ijengwe misikiti.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (104) https://www.alfawzan. af.org.sa/sites/default/files/13-03-1441%D9%87%D9%80~1_0.mp3
- Imechapishwa: 19/12/2020
Swali: Inajuzu kusimamia au kujenga makanisa au kuwauzia chakula watawa?
Jibu: Haijuzu kuwahudumia, kufanya kazi wala kusaidia majengo ya shirki na majengo ya kuabudiwa asiyekuwa Allaah. Mambo kama hayo yanatakiwa kufanywa misikitini. Allaah ameamrisha ijengwe misikiti.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (104) https://www.alfawzan. af.org.sa/sites/default/files/13-03-1441%D9%87%D9%80~1_0.mp3
Imechapishwa: 19/12/2020
https://firqatunnajia.com/misikiti-tu-ndio-inatakiwa-kujengwa/