Swali: Je, imekatazwa kwa mtu kusema kuwa ni Maalikiy au Hanbaliy? Baadhi ya wanafunzi wanasema kuwa haifai kusema hivo.
Jibu: Anataka aseme nini? Hakuna kosa kwa mtu kusema kuwa ni Hanbaliy, Shaafi´iy, Maalikiy… Haya ni madhehebu ya Ahl-us-Sunnah. Je, unapinga madhehebu ya Ahl-us-Sunnah? Haijuzu. Hata hivyo hutakiwi kusema kuwa haki iko tu katika madhehebu ya Hanaabilah. Haijuzu. Ama kusema kuwa madhehebu yote mane ni ya Ahl-us-Sunnah, ni sawa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/muq–14331116.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)