Swali: Tukiwakataza watoto wetu wa leo na vyombo vya khabari, wataenda kwa wengine. Tufanye nini?
Jibu: Umesikia jibu.[1] Wakataze. Ni wadogo. Wataacha. Wakatazae wakati ni watoto. Hawatoenda. Hili linahitajia kupambana nao na kuwa na subira kwao. Linahitajia uangalizi na uchungaji na kutochukulia usahali. Ukiwaacha watoto zako wakaenda kwa majirani na ndugu wasiokuwa na dini, bila ya shaka wataathirika na hapo itakuwa vigumu kwako kuwaelekeza. Kuwakataza inahitajia subira na nguvu na kuwepo. Kwa kuwa baadhi ya wazazi hawapo nyumbani. Hawaji nyumbani isipokuwa wamechelewa na usiku. Haulizi watoto wake na wala yaliyopitika nyumbani. Haya, pamoja na kwamba yeye ndiye mchungaji nyumbani:
“Nyote ni wachungaji na kila mmoja ataulizwa kwa kile alichochungishwa.”
Mwanaume nyumbani ni mchungaji na ataulizwa juu ya kile alichochungishwa.
———–
(1) Tazama https://firqatunnajia.com/usiwaache-watoto-zako-wakaenda-sehemu-za-tv/
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/muq–14331116.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Tukiwakataza watoto wetu wa leo na vyombo vya khabari, wataenda kwa wengine. Tufanye nini?
Jibu: Umesikia jibu.[1] Wakataze. Ni wadogo. Wataacha. Wakatazae wakati ni watoto. Hawatoenda. Hili linahitajia kupambana nao na kuwa na subira kwao. Linahitajia uangalizi na uchungaji na kutochukulia usahali. Ukiwaacha watoto zako wakaenda kwa majirani na ndugu wasiokuwa na dini, bila ya shaka wataathirika na hapo itakuwa vigumu kwako kuwaelekeza. Kuwakataza inahitajia subira na nguvu na kuwepo. Kwa kuwa baadhi ya wazazi hawapo nyumbani. Hawaji nyumbani isipokuwa wamechelewa na usiku. Haulizi watoto wake na wala yaliyopitika nyumbani. Haya, pamoja na kwamba yeye ndiye mchungaji nyumbani:
“Nyote ni wachungaji na kila mmoja ataulizwa kwa kile alichochungishwa.”
Mwanaume nyumbani ni mchungaji na ataulizwa juu ya kile alichochungishwa.
———–
(1) Tazama https://firqatunnajia.com/usiwaache-watoto-zako-wakaenda-sehemu-za-tv/
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/muq–14331116.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/kuwalea-watoto-kunahitajia-mapambano-na-nguvu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)