Swali: Ndugu yangu mmoja amepatwa na puani na anapata uzito kuingiza maji puani wakati wa kutawadha. Je, inatosha kwake kulowesha vidole vyake kwa maji na akaviingiza puani?
Jibu: Ikiwa kunamuumiza basi afanye Tayammum na wala asijitie kwenye khatari ya maji ikiwa kufanya hivo kunamdhuru.
Swali: Anaweza kuingiza vidole vyake puani peke yake?
Jibu: Hapana, kupangusa peke yake haitoshi. Ni lazima apandishe maji puani. Lakini ikiwa hawezi basi afanye Tayammum. Akimaliza kutawadha basi afanye Tayammum kwa kunuia pua muda wa kuwa maji yanamdhuru.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22576/كيف-يستنشق-المصاب-بحساسية-في-انفه
- Imechapishwa: 05/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)