Swali: Mgonjwa ambaye ameacha swalah kwa ujinga ailipe au inatosha kwake kutubia?
Jibu: Ikiwa mtu mfano wake anaweza kuwa mjinga haitokidhi. Lakini ikiwa mtu mfano wake hawezi; mtu aliyekulia katika viunga vya misitu ya Afrika au misitu iliyo mbali na Uislamu, anapaswa kufundishwa na kufanya Uislamu wake upya.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24133/حكم-المريض-الذي-ترك-الصلاة-جهلا
- Imechapishwa: 06/09/2024
Swali: Mgonjwa ambaye ameacha swalah kwa ujinga ailipe au inatosha kwake kutubia?
Jibu: Ikiwa mtu mfano wake anaweza kuwa mjinga haitokidhi. Lakini ikiwa mtu mfano wake hawezi; mtu aliyekulia katika viunga vya misitu ya Afrika au misitu iliyo mbali na Uislamu, anapaswa kufundishwa na kufanya Uislamu wake upya.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24133/حكم-المريض-الذي-ترك-الصلاة-جهلا
Imechapishwa: 06/09/2024
https://firqatunnajia.com/mgonjwa-ameacha-swalah-kwa-ujinga/